WhatsApp-Image-2023-12-08-at-11.57.25-AM-780x470

Mashirika Afrika yatoa hoja tano uwezeshaji nishati mbadala COP28

MASHIRIKA ya Kiraia ya Afrika (CSOs) yametoa tamko lenye hoja tano kuhusu malengo ya nishati mbadala kwa Afrika katika Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa mabadiliko ya tabianchi(28) unaoendelea Dubai,Falme za Kiarabu.

Moja ya vipaumbele vya Afŕika katika COP28 ilikuwa kupata mikataba ambayo ingewekeza mara tatu katika nishati mbadala katika bara baada ya Mkutano wa Kilele wa Hali ya Hewa wa Afŕika kushindwa kutoa matokeo kabambe kuhusu nishati mbadala.

WhatsApp-Image-2023-12-02-at-1.24.43-PM-1-695x470

Wataalamu wataka fidia ya haraka athari mabadiliko tabianchi

MASHIRIKA ya Kiraia ya Afrika (CSOs) yametoa tamko lenye hoja tano kuhusu malengo ya nishati mbadala kwa Afrika katika Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa mabadiliko ya tabianchi(28) unaoendelea Dubai,Falme za Kiarabu.

Moja ya vipaumbele vya Afŕika katika COP28 ilikuwa kupata mikataba ambayo ingewekeza mara tatu katika nishati mbadala katika bara baada ya Mkutano wa Kilele wa Hali ya Hewa wa Afŕika kushindwa kutoa matokeo kabambe kuhusu nishati mbadala.

Julie Mulonga, Director of Eastern Africa at Wetlands International, speaks during
a mangrove restoration training for Kenya Forest Service in Mombasa recently - Photo Credit |Wetlands International

Expert advice on mangrove restoration

By Ruth Keah – rkeahkadide@gmail.com

Experts are calling for reassessment of approaches being used in mangrove conservation in Kenya in order to achieve maximum benefits.

According to research findings by Wetlands International highlighted by its Director In charge of East Africa Region, Julie Mulonga, mass mangrove planting efforts have proven ineffective since a significant number planted seedlings die.

Officials say that the country’s blue economy blueprint is steadily generating wealth while sustainably managing marine resources - Photo Credit | Aghan Daniel

Oceanic solutions for sustainable climate and business

By Joyce Chimbi – j.chimbi@gmail.com

Powered by the Indian Ocean, Kenya’s coastal region is a natural wonder of an exotic ecosystem of numerous beaches, coral reef and a variety of unique plant and animal species.

“We define the blue economy as an umbrella term for sectors such as fisheries, aquaculture and mariculture, marine tourism, offshore oil and gas, maritime transport and logistics, safety and security and maritime domain awareness,” says Raymond Mwashigadi, a maritime expert and independent consultant on blue economy.

In 2021, the Ministry of Tourism estimated the contribution of travel and tourism to GDP at 24 per cent. It said tourism employed over 1.6 million people, making it the second most significant sector after agriculture.
The coastal region is the backbone of Kenya’s domestic and foreign tourism, supporting millions of people directly and indirectly.